LIVE USM ALGER VS YANGA Download HAPA kutazama LIVE kwenye Simu Yako Kesho Saa 4:00 Usiku.

LIVE MAN CITY VS MAN UNITED Download HAPA kutazama LIVE kwenye Simu Yako Kesho Saa 11:00 Jioni.

Robertinho kuelekea mchezo vs Wydad Casablanca 28 April 2023

Filed in Michezo by on 27/04/2023 0 Comments
Share This
NIJUZE HABARI WHATSAPP GROUP

AJIRA MPYA ZA WIKI HII BONYEZA HAPA


AUDIOS MPYA ZA WIKI BONYEZA HAPA


VIDEOS MPYA ZA WIKI HII BONYEZA HAPA

Nijuze TV App, Mpira Kiganjani Mwako

Robertinho kuelekea mchezo vs Wydad Casablanca 28 April 2023

Robertinho kuelekea mchezo vs Wydad Casablanca 28 April 2023

Robertinho kuelekea mchezo vs Wydad Casablanca 28 April 2023

Kocha Mkuu wa Klabu ya Simba Roberto Oliviera ‘Robertinho amesema kuwa kesho hawatacheza dhidi ya Wydad Casablanca kama ilivyokuwa kwenye mchezo wa mkondo wa kwanza uliopigwa wiki iliyopita katika Uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam.

Robertinho amesema kuwa kesho watakuwa ugenini kwa hiyo wataingia na mbinu tofauti za kucheza aina hiyo mchezo haiwezi kuwa sawa na ile ya mkondo wa kwanza.

Robertinho ameongeza kuwa lengo la Simba litakuwa ni lile lile kucheza vizuri na kupata ushindi ili tufuzu hatua ya Nusu Fainali.

“Tumejiandaa na mbinu tofauti za kucheza mchezo wa kesho wa maruadiano wa Robo Fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Wydad.

“Haiwezi kuwa sawa na vile tulivyocheza mechi ya kwanza ya nyumbani, nawaamini wachezaji wangu watafuata maelekezo tuliyowapa. Tumejipanga kucheza vizuri na kupata ushindi,” amesema Robertinho.

Kwa upande wake kiungo mshambuliaji, Pape Osmane Sakho amesema kuwa Wachezaji wako tayari kimwili na kiakili kupambana kuhakikisha tunatimiza malengo.

“Sisi wachezaji tupo tayari, tumepata maandalizi ya kutosha, tupo tayari kukamilisha kazi tuliyoianza wiki iliyopita tukiwa nyumbani,” amesema Sakho.

Kwa upande wa Kocha Msaidizi, Juma Mgunda, kuelekea mchezo wao wa ugenini dhidi ya Wydad Casablanca, amesema kuwa wachezaji wako vizuri na wanaitaka mechi, kilichobaki ni maombi na sala za Watanzania.

Download Video Juma Mgunda, kuelekea mchezo dhidi ya Wydad Casablanca

Donwload Video Robertinho kuelekea mchezo dhidi ya Wydad Casablanca

PIA UNAWEZA KUSOMA👇

Nijuze TV ni App ambayo ukiwa nayo utaweza kutazama mechi za Ligi Kuu Tz Bara (NBC PREMIER LEAGUE) EPL, WORLD CUP, EPL, LALIGA, SERIA, LIGUE 1, BUNDESLIGA na Ligi nyingine nyingi.

Download App ya Nijuze Habari Playstore tukutumie Habari zote kwenye Simu yako BILA MALIPO BOFYA HAPA.

Download App ya Nijuze TV Utazame mechi zote kwenye Simu yako BOFYA HAPA

Share This

Tags:

About the Author ()

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *