LIVE USM ALGER VS YANGA Download HAPA kutazama LIVE kwenye Simu Yako Kesho Saa 4:00 Usiku.

LIVE MAN CITY VS MAN UNITED Download HAPA kutazama LIVE kwenye Simu Yako Kesho Saa 11:00 Jioni.

Robertinho tuko tayari, mmoja kuikosa Raja Casablanca

Filed in Michezo by on 17/02/2023 0 Comments
Share This
NIJUZE HABARI WHATSAPP GROUP

AJIRA MPYA ZA WIKI HII BONYEZA HAPA


AUDIOS MPYA ZA WIKI BONYEZA HAPA


VIDEOS MPYA ZA WIKI HII BONYEZA HAPA

Nijuze TV App, Mpira Kiganjani Mwako

Robertinho tuko tayari, mmoja kuikosa Raja Casablanca

Robertinho tuko tayari, mmoja kuikosa Raja Casablanca

Robertinho tuko tayari, mmoja kuikosa Raja Casablanca

Kocha Mkuu wa Simba Robertinho Oliveira amesema kuwa kikosi chake kiko tayari kwa mchezo wa Ligi ya Mabingwa dhidi ya Raja Casablanca ambao utapigwa kesho Jumamosi kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, kuanzia saa 1:00 Usiku.

AKizungumza katika mkutano na wanahabari leo, Robertinho amesema kuwa anatambua wanakwenda kupambana na timu kubwa lakini hata Simba ni kubwa pia.

Robertinho tuko tayari mmoja kuikosa Raja Casablanca

Amesema jukumu la wachezaji wake ni kucheza kwa malengo na kufuata maelekezo, wanayo nafasi ya kushinda mchezo huo

“Ni mechi ngumu, Raja Casablanca ni timu kubwa kama tulivyo sisi, lakini tuna malengo. Kutokana na mipango yetu, tumejipanga kushinda”

“Tuna malengo ya kuvuka hatua ya makundi kwenda robo fainali, nusu fainali na hata kutwaa Ubingwa inawezekana. Nimewaandaa vijana wangu kucheza soka safi ambalo litaambatana na ushindi,” amesema Robertinho

Akizungumzia kukosekana kwa kiungo mkabaji Sadio Kanoute anayetumikia adhabu ya kadi tatu za njano, Robertinho amesema kukosekana kwa mchezaji huyo hakutaathiri kikosi chake

“Tutamkosa Sadio Kanoute lakini sina wasiwasi kwa sababu timu yangu ina wachezaji wengi. Hatuchezi kumtegemea mchezaji mmoja, nawaamini wachezaji 11 watakaonza watatupa matokeo ya ushindi”

 

Download App ya Nijuze Habari Playstore tukutumie Habari zote kwenye Simu yako BILA MALIPO BOFYA HAPA.

Download App ya Nijuze TV Utazame mechi zote kwenye Simu yako BOFYA HAPA

Share This

Tags: , ,

About the Author ()

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *