Sababu za Ligi Kuu ya NBC kuwa Nafasi ya 5 Afrika 2023

AJIRA MPYA ZA WIKI HII BONYEZA HAPA
AUDIOS MPYA ZA WIKI BONYEZA HAPA
VIDEOS MPYA ZA WIKI HII BONYEZA HAPA


Sababu za Ligi Kuu ya NBC kuwa Nafasi ya 5 Afrika 2023

Sababu za Ligi Kuu ya NBC kuwa Nafasi ya 5 Afrika 2023
Ligi Kuu ya Soka Tanzania (NBC Premier League) imetajwa kushika nafasi ya 5 kwa Ubora Afrika na ya 39 kwa Dunia, kwa mujibu wa Shirikisho la Kimataifa la Historia na Takwimu za Mpira wa Miguu (IFFHS).
Katika Kumi Bora Afrika, Tanzania ndio nchi pekee iliyochomoza katika ya nchi za Afrika Mashariki.
Ligi ya Misri inaongoza Afrika ikifuatiwa na Algeria, Morocco na nafasi ya nne ipo Sudan, huku Nafasi ya tano ndipo ilipo Ligi Kuu ya NBC.
Nafasi ya 6 mpaka 10 zinashikwa na Ligi Kuu ya Afrika Kusini, Angola, Tunisia, Nigeria na Zambia.
Aidha Maswali yamekua mengi, Kuna watu wanajiuliza vipi Tanzania tumewazidi Afrika kusini? Na vipi kuhusu Tunisia? Ukweli ni kwamba.
Hiyo Orodha inahusu Ligi Kuu imara/Bora zaidi na Miongoni mwa Vigezo vilivyotumiwa kupata orodha hii ni hivi hapa.
1.Mechi zake zina uratibu mzuri wa Usimamizi maana yake Mchezo una Waamuzi, Kamishna wa Mchezo (MC), Mratibu Mkuu (GC) na Afisa habari (MCO).
2.Ufuatiliwaji wa Ligi hiyo, Yani Watu wa Taifa husika kwa kiasi gani wanaifuatilia Ligi yao ya ndani? Nadhani halina ubishi Tanzania tupo mbele kwenye hili.
3.Matangazo ya Runinga, Ligi ya Tanzania Bara inarusha Matangazo ya Television kwa michezo yake yote kupitia Azam TV.
4.Ufuatiliwaji wa michezo kwenye Television, Mbali na Kurusha mechi zote Mchezo wa Simba na Yanga unafuatiliwa sana kwenye Television (Viewers).
Aidha zipo sababu nyengine lakini hizi ndio Sababu kubwa zaidi zinazoifanya Ligi Kuu ya NBC kuwa namba 5 Afrika 2023.
PIA UNAWEZA KUSOMA👇
- Ada/makato ya Lipa kwa M-pesa, Lipa kwa Simu
- ADA za LIPA kwa Airtel Mitandao Yote
- TETESI za Usajili NBC Premier League 2023/2024
- YANGA yashika Nafasi ya 9 Simba ya 10 Afrika 2022/2023
- FAHAMU kuhusu Azam Pesa pamoja na Makato yake
- Ada mpya za M-Pesa 2023/2024 | Makato mapya ya M-Pesa
- Ada zaAirtel Money 2022/2023 | Makato mapya ya Airtel Money
- ADA Mpya za Tigo Pesa (Tigo Pesa Tariffs 2022/2023)
- Ada/Makato ya HaloPesa Tanzania, Halopesa Tariffs 2023
- DOWNLOAD | NYIMBO ZA TENZI ZA ROHONI SWAHILI MIX
- Ada za M-Pesa Songesha 2022/2023
- FAHAMU Jinsi ya Kufungua Akaunti ya M-Koba Vodacom
- Namna ya Kujisajili na Premier Bet Ushinde Mamilioni
- RATIBA kamili NBC Premier League msimu wa 2022/2023
- DOWNLOAD NIDA number | Kitambulisho cha Taifa
- MSIMAMO Ligi Kuu Tanzania Bara 2022/2023
- WAFUNGAJI Wanaoongoza kwa Ufungaji Ligi Kuu
Nijuze TV ni App ambayo ukiwa nayo utaweza kutazama mechi za Ligi Kuu Tz Bara (NBC PREMIER LEAGUE) EPL, WORLD CUP, EPL, LALIGA, SERIA, LIGUE 1, BUNDESLIGA na Ligi nyingine nyingi.
Download App ya Nijuze Habari Playstore tukutumie Habari zote kwenye Simu yako BILA MALIPO BOFYA HAPA.
Download App ya Nijuze TV Utazame mechi zote kwenye Simu yako BOFYA HAPA
Tags: Sababu za Ligi Kuu ya NBC kuwa Nafasi ya 5 Afrika 2023