Nijuze Habari App

Shomari Kapombe bado yupo sana Simba

Filed in Michezo, New, Usajili by on 11/07/2023 0 Comments
Share This

SHINDA 50,000 BURE KILA SIKU BONYEZA HAPA


AJIRA MPYA ZA WIKI HII BONYEZA HAPA


AUDIOS MPYA ZA WIKI BONYEZA HAPA


VIDEOS MPYA ZA WIKI HII BONYEZA HAPA

Shomari Kapombe bado yupo sana Simba

Shomari Kapombe bado yupo sana Simba, Mlinzi wa kulia wa Klabu ya Simba SC, Shomari Salum Kapombe ameongeza mkataba wa miaka miwili kuitumikia Simba SC hadi Julai 2025

Kapombe ni miongoni mwa wachezaji ambao mikataba yao ilimalizika mwishoni mwa msimu uliopita ambapo benchi la ufundi lilipendekeza beki huyo mahiri zaidi upande wa kulia nchini aongezewe mkataba.

Shomari Kapombe bado yupo sana Simba

 

Tangu alivyorejea kwa mara ya pili mwaka 2017 kutoka Azam FC, Kapombe amekuwa mchezaji wa kikosi cha kwanza mpaka sasa licha ya kupita makocha tofauti tofauti.

Licha ya kuwa Mchezaji muhimu ndani ya timu hiyo sifa yake nyingine kubwa ni kuwa miongoni mwa wachezaji wenye nidhamu hivyo ni mfano wa kuigwa na vijana.

Pamoja na zoezi la usajili wa wachezaji wapya kuendelea lakini Simba pia inawaongezea mikataba nyota ambao bado huduma zao bado zinahitajika.

PIA UNAWEZA KUSOMA👇

 

MKWANJA Mrefu Upo Premierbet Leo, kupata odds za Kibabe Tafadhali Bofya HAPA JISAJILI, BASHIRI Utusue.

 
 

Karibu Helabet Upige MKWANJA hadi 300,000, Kujiunga Bofya HAPA, Promo Code ya Bonasi Weka NIJUZE, JISAJILI, Deposit na Utusue.

 

Nijuze TV ni App ambayo ukiwa nayo utaweza kutazama mechi za Ligi Kuu Tz Bara (NBC PREMIER LEAGUE) EPL, WORLD CUP, EPL, LALIGA, SERIA, LIGUE 1, BUNDESLIGA na Ligi nyingine nyingi.

Download App ya Nijuze Habari Playstore tukutumie Habari zote kwenye Simu yako BILA MALIPO BOFYA HAPA.

Share This

Tags:

About the Author ()

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *