SIMBA yaachana na Victor Akpan
JIUNGE NA GROUP LETU LA WHATSAPP HAPA
JIUNGE NA CHANNEL YETU YA TELEGRAM HAPA
AJIRA MPYA ZA WIKI HII BONYEZA HAPA
AUDIOS MPYA ZA WIKI BONYEZA HAPA
VIDEOS MPYA ZA WIKI HII BONYEZA HAPA
SIMBA yaachana na Victor Akpan

SIMBA yaachana na Victor Akpan
SIMBA yaachana na Victor Akpan, Uongozi wa klabu Simba SC, umetangaza kufikia makubaliano ya kuachana na kiungo mkabaji Victor Akpan raia wa Nigeria.
Akpan alijiunga na Simba July, 2022 akitokea Coastal Union lakini baada ya uboreshaji mkubwa wa kikosi ambao Simba imepanga kuufanya msimu huu wa 2023/2024 benchi la ufundi limeona kuwa Akpan hatokuwa sehemu ya mipango yao.
Aidha Simba ilimtoa mkopo mwezi November 2023 kwenda Ihefu SC lakini sasa na sasa Mchezaji huyo na Simba wamefikia makubaliano ya kuachana moja kwa moja.
Simba imesema kuwa inamshukuru Akpan kwa Utumishi wake ndani ya timu hiyo pia inamtakia kheri kwenye maisha yake mapya ya soka nje ya Simba.
Aidha Simba imesema kuwa inaendelea kuboresha timu kuelekea msimu mpya wa Ligi Kuu ya NBC 2023/24 na lengo lao ni kuwa na timu imara yenye ushindani itakayokuwa na uwezo wa kubeba Ubingwa.
PIA UNAWEZA KUSOMA👇
MKWANJA Mrefu Upo Premierbet Leo, kupata odds za Kibabe Tafadhali Bofya HAPA JISAJILI, BASHIRI Utusue.
Karibu Helabet Upige MKWANJA hadi 300,000, Kujiunga Bofya HAPA, Promo Code ya Bonasi Weka NIJUZE, JISAJILI, Deposit na Utusue.
- Ada/makato ya Lipa kwa M-pesa, Lipa kwa Simu
- ADA za LIPA kwa Airtel Mitandao Yote
- TETESI za Usajili NBC Premier League 2023/2024
- YANGA yashika Nafasi ya 9 Simba ya 10 Afrika 2022/2023
- FAHAMU kuhusu Azam Pesa pamoja na Makato yake
- Ada mpya za M-Pesa 2023/2024 | Makato mapya ya M-Pesa
- Ada zaAirtel Money 2022/2023 | Makato mapya ya Airtel Money
- ADA Mpya za Tigo Pesa (Tigo Pesa Tariffs 2022/2023)
- Ada/Makato ya HaloPesa Tanzania, Halopesa Tariffs 2023
- DOWNLOAD | NYIMBO ZA TENZI ZA ROHONI SWAHILI MIX
- Ada za M-Pesa Songesha 2022/2023
- FAHAMU Jinsi ya Kufungua Akaunti ya M-Koba Vodacom
- Namna ya Kujisajili na Premier Bet Ushinde Mamilioni
- RATIBA kamili NBC Premier League msimu wa 2022/2023
- DOWNLOAD NIDA number | Kitambulisho cha Taifa
- MSIMAMO Ligi Kuu Tanzania Bara 2022/2023
- WAFUNGAJI Wanaoongoza kwa Ufungaji Ligi Kuu
Nijuze TV ni App ambayo ukiwa nayo utaweza kutazama mechi za Ligi Kuu Tz Bara (NBC PREMIER LEAGUE) EPL, WORLD CUP, EPL, LALIGA, SERIA, LIGUE 1, BUNDESLIGA na Ligi nyingine nyingi.

Download App ya Nijuze Habari Playstore tukutumie Habari zote kwenye Simu yako BILA MALIPO BOFYA HAPA.
