Nijuze Habari App

SIMBA Yakusanya Mamilioni Mnada wa Kibegi na Jezi

Filed in Michezo by on 01/08/2023 0 Comments
Share This
 

SHINDA 50,000 BURE KILA SIKU BONYEZA HAPA


AJIRA MPYA ZA WIKI HII BONYEZA HAPA


AUDIOS MPYA ZA WIKI BONYEZA HAPA


VIDEOS MPYA ZA WIKI HII BONYEZA HAPA

SIMBA Yakusanya Mamilioni Mnada wa Kibegi na Jezi

SIMBA Yakusanya Mamilioni Mnada wa Kibegi na Jezi, Klabu ya Simba jana iliendesha mnada wa ‘kibegi’ ambapo Fedha zilizopatikana zinakwenda kusaidia wodi za Mama na Mtoto kwenye Hospitali ya Taifa ya Muhimbili na Hospitali ya Zanzibar.

Jezi ya Rais wa Heshima wa klabu, Mohamed Dewji 'Mo' @moodewji imeuzwa Sh. 2,000,000 na Duka la Vifaa la Michezo la Romario Sports katika mnada unaoendelea katika Ofisi za Azam TV ikiwa ni ahadi tuliyoitoa kabla ya kupelewa kilele cha Mlima Kilimanjaro Julai 21, 2023 #UnyamaMwingi #Nguvumoja

Jezi ya Rais wa Heshima wa klabu, Mohamed Dewji ‘Mo’ @moodewji imeuzwa Sh. 2,000,000 na Duka la Vifaa la Michezo la Romario Sports katika mnada uliofanyika katika Ofisi za Azam TV #UnyamaMwingi #Nguvumoja

Katika mnada huo, jezi ya kwanza
kunadiwa iliikuwa ya Rais wa Heshima wa Klabu ya Simba, Mohamed Dewji “Mo” ambayo ilinunuliwa kwa Shilingi Milioni mbili (2,000,000), Mnunuzi akiwa
Bukara Romario, wauzaji wa vifaa vya michezo.

Jezi ya Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Tulia Ackson imeuzwa kwa Sh. 2,500,000 kwa Tawi la Simba Makini katika mnada wa jezi uliofanyika katika ofisi za Azam TV #UnyamaMwingi #NguvuMoja

Jezi ya Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Tulia Ackson imeuzwa kwa Sh. 2,500,000 kwa Tawi la Simba Makini katika mnada wa jezi uliofanyika katika ofisi za Azam TV #UnyamaMwingi #NguvuMoja

Jezi ya Spika wa Bunge la Tanzania, Dkt. Tulia Ackson ilinunuliwa kwa Shilingi milioni 2.5 na Tawi la Simba Makini.

Jezi ya Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Philip Mpango imeuzwa kwa Sh. 3,000,000 kwa Sanda Omary 'Sandaland The Only One' @sandalandtheonlyone_ katika Mnada uliofanyika katika ofisi za Azam TV. #UnyamaMwingi #NguvuMoja

Jezi ya Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Philip Mpango imeuzwa kwa Sh. 3,000,000 kwa Sanda Omary ‘Sandaland The Only One’ @sandalandtheonlyone_ katika Mnada uliofanyika katika ofisi za Azam TV. #UnyamaMwingi #NguvuMoja

Jezi ya Makamu wa Rais wa Tanzania, Dkt. Philip Mpango ilinunuliwa na Sandaland kwa dau la Shilingi milioni tatu (3,000,000).

Jezi ya Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mh. Kassim Majaliwa imeuzwa kwa Sh. 4,000,000 kwa S & Sons LTD katika mnada uliofanyika katika ofisi za Azam TV. #UnyamaMwingi #NguvuMoja

Jezi ya Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mh. Kassim Majaliwa imeuzwa kwa Sh. 4,000,000 kwa S & Sons LTD katika mnada uliofanyika katika ofisi za Azam TV. #UnyamaMwingi #NguvuMoja

Jezi ya Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ilinunuliwa kwa Shilingi milioni nne (4,000,000) na ES & Sons.

 

MKWANJA Mrefu Upo Premierbet Leo, kupata odds za Kibabe Tafadhali Bofya HAPA JISAJILI, BASHIRI Utusue.

 
 

Karibu Helabet Upige MKWANJA hadi 300,000, Kujiunga Bofya HAPA, Promo Code ya Bonasi Weka NIJUZE, JISAJILI, Deposit na Utusue.

 
Jezi ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Mwinyi imeuzwa Tsh. 5,000,000 kwa Hasa Clearing and Forwarding katika mnada uliofanyika katika ofisi za Azam TV #UnyamaMwingi #NguvuMoja

Jezi ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Mwinyi imeuzwa Tsh. 5,000,000 kwa Hasa Clearing and Forwarding katika mnada uliofanyika katika ofisi za Azam TV #UnyamaMwingi #NguvuMoja

Jezi ya Rais wa Zanzibar, Dkt. Hussein Mwinyi ilnunuliwa kwa Shilingi milioni tano (5,000,000)

Jezi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan imeuzwa kwa Sh. 10,000,000 kwa Benki ya CRDB @crdbbankplc katika mnada wa jezi uliofanyika katika ofisi za Azam TV #UnyamaMwingi #NguvuMoja

Jezi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan imeuzwa kwa Sh. 10,000,000 kwa Benki ya CRDB @crdbbankplc katika mnada wa jezi uliofanyika katika ofisi za Azam TV #UnyamaMwingi #NguvuMoja

Jezi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan
ilinunuliwa na Benki ya CRDB kwa shilingi milioni 10 (10,000,000), huku kibegi kikinuliwa kwa Tsh Milioni 2.5 na
Saleh Majapa.

Kibegi kilichokuwa na jezi zetu na kupelekwa juu ya kilele cha Mlima Kilimanjaro imeuzwa kwa Sh. 2,500,000 kwa Saleh Majapa katika mnada wa jezi ambao uliofanyika katika ofisi za Azam TV #UnyamaMwingi #NguvuMoja

Kibegi kilichokuwa na jezi zetu na kupelekwa juu ya kilele cha Mlima Kilimanjaro imeuzwa kwa Sh. 2,500,000 kwa Saleh Majapa katika mnada wa jezi ambao uliofanyika katika ofisi za Azam TV #UnyamaMwingi #NguvuMoja

 

PIA UNAWEZA KUSOMA👇

 

Nijuze TV ni App ambayo ukiwa nayo utaweza kutazama mechi za Ligi Kuu Tz Bara (NBC PREMIER LEAGUE) EPL, WORLD CUP, EPL, LALIGA, SERIA, LIGUE 1, BUNDESLIGA na Ligi nyingine nyingi.

Download App ya Nijuze Habari Playstore tukutumie Habari zote kwenye Simu yako BILA MALIPO BOFYA HAPA.

Share This

Tags:

About the Author ()

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *