Nijuze Habari App

SIMBA yamtoa kwa mkopo Joash Onyango

Filed in Usajili, Michezo by on 09/07/2023 0 Comments
Share This
 

SHINDA 50,000 BURE KILA SIKU BONYEZA HAPA


AJIRA MPYA ZA WIKI HII BONYEZA HAPA


AUDIOS MPYA ZA WIKI BONYEZA HAPA


VIDEOS MPYA ZA WIKI HII BONYEZA HAPA

SIMBA yamtoa kwa mkopo Joash Onyango

SIMBA yamtoa kwa mkopo Joash Onyango, Uongozi wa Klabu ya Simba SC, umefikia makubaliano ya kumtoa kwa mkopo mlinzi wa kati Joash Onyango kwenda Singida Fountain Gate FC hadi mwisho wa msimu 2023 – 2024.

Beki huyo kisiki kutoka Kenya amebakiza mkataba wa mwaka mmoja na Simba Sports Club.

SIMBA yamtoa kwa mkopo Joash OnyangoUongozi wa Simba Sports Club unamshukuru sana Joash Onyango kwa mchango wake mkubwa kwenye mafanikio ya Klabu hiyo.

Uongozi wa Simba Sports Club pua umemtakia kila la kheri Joash Ochieng Onyango kwenye majukumu yake mapya.SIMBA yamtoa kwa mkopo Joash Onyango

PIA UNAWEZA KUSOMA👇

 

MKWANJA Mrefu Upo Premierbet Leo, kupata odds za Kibabe Tafadhali Bofya HAPA JISAJILI, BASHIRI Utusue.

 
 

Karibu Helabet Upige MKWANJA hadi 300,000, Kujiunga Bofya HAPA, Promo Code ya Bonasi Weka NIJUZE, JISAJILI, Deposit na Utusue.

 

Nijuze TV ni App ambayo ukiwa nayo utaweza kutazama mechi za Ligi Kuu Tz Bara (NBC PREMIER LEAGUE) EPL, WORLD CUP, EPL, LALIGA, SERIA, LIGUE 1, BUNDESLIGA na Ligi nyingine nyingi.

Download App ya Nijuze Habari Playstore tukutumie Habari zote kwenye Simu yako BILA MALIPO BOFYA HAPA.

Share This

Tags:

About the Author ()

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *