Simba yazindua Jezi Mpya
JIUNGE NA GROUP LETU LA WHATSAPP HAPA
JIUNGE NA CHANNEL YETU YA TELEGRAM HAPA
AJIRA MPYA ZA WIKI HII BONYEZA HAPA
AUDIOS MPYA ZA WIKI BONYEZA HAPA
VIDEOS MPYA ZA WIKI HII BONYEZA HAPA
KLABU ya Simba wamezindua jezi mpya leo Jumatatu ya January 03, 2022, kuelekea mchezo yao kwenye Michuano ya Mapinduzi Cup 2022.
Jezi hizo zimezinduliwa visiwani Zanzibar na Afisa Habari wa Klabu hiyo Ahmed Ally, na zitatumika katika michuano ya Mapinduzi Cup na Kombe la Azam Sports (ASFC).
Kwa sasa Jezi hizo zinapatikana kwenye maduka yote ya Vunja Bei, ambao Afisa habari huyo amewaomba wanasimba kujipatia jezi hizo mapema.
MKWANJA Mrefu Upo Premierbet Leo, kupata odds za Kibabe Tafadhali Bofya HAPA JISAJILI, BASHIRI Utusue.
Karibu Helabet Upige MKWANJA hadi 300,000, Kujiunga Bofya HAPA, Promo Code ya Bonasi Weka NIJUZE, JISAJILI, Deposit na Utusue.
Akizungumzia uzinduzi huo, Afisa Habari Simba SC, Ahmed Ally amesema; “Tumezindua jezi mpya ambazo tutaanza kuzitumia kwenye michuano ya Mapinduzi hapa Zanzibar, pia tutazitumia kwenye michuano ya Kombe la Shirikisho Barani Afrika.
“Mashabiki wanaweza kununua jezi zetu mpya kwaajili ya klabu yao, imekua ni kawaida yetu kufanya jambo hili na wengine wamekua wakituiga…”

Download App ya Nijuze Habari Playstore tukutumie Habari zote kwenye Simu yako BILA MALIPO BOFYA HAPA.

Tags: Jezi Mpya Simba SC, Jezi Mpya za Simba SC, Simba SC, Simba yazindua Jezi Mpya