LIVE AL AHLY VS WYDAD AC Download HAPA kutazama LIVE kwenye Simu Yako Leo Saa 3:00 Usiku. 

Singida BS vs Yanga kupigwa pale pale Singida

Filed in Michezo, New by on 02/05/2023 0 Comments
Share This
NIJUZE HABARI WHATSAPP GROUP

AJIRA MPYA ZA WIKI HII BONYEZA HAPA


AUDIOS MPYA ZA WIKI BONYEZA HAPA


VIDEOS MPYA ZA WIKI HII BONYEZA HAPA

Nijuze TV App, Mpira Kiganjani Mwako

Singida BS vs Yanga kupigwa pale pale Singida

Singida BS vs Yanga kupigwa pale pale Singida

Singida BS vs Yanga kupigwa pale pale Singida

MSAFARA wa Klabu ya Yanga ulioondoka Jijini Dar es Salaam jana kwenda Singida kwaajili ya mechi mbili dhidi ya Singida Big Stars, ulilazimika kurejea tena Dar es salaam baada ya ndege waliyopanda kushindwa kutua kwenye Uwanja wa ndege Mkoani Dodoma kutokana na tatizo la taa kwenye Uwanja huo.

Yanga ilitatajiwa kutua na ndege kwenye Uwanja huo kisha kuanza safari na ya kwenda Mkoani Singida kwa Usafiri wa basi.

Uongozi  wa Yanga umewatoa hofu wapenzi na wanachama wake kuwa wachezaji wake wote wapo salama na wanafanya utaratibu wa kupata ndege nyingine ili kurejea Singida.

Singida BS vs Yanga kupigwa pale pale Singida

Singida BS vs Yanga kupigwa pale pale Singida

Klabu hiyo inatatajiwa kucheza mechi tatu tofauti ndani ya siku saba, miwili Singida, wa Ligi Kuu raundi ya 27 na Nusu Fainali ASFC huku mmoja wa Nusu Fainali CAF Confederation Cup ukitarajiwa kupigwa Jijini Dar es Salaam.

Alhamisi ya May 4 Yanga itacheza dhidi ya Singida BS mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara na Jumapili ya May 7 dhidi ya Singida BS pia huu ukiwa wa Nusu Fainali Kombe la Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), maarufu kama Azam Sports Federation Cup (ASFC).

Baada ya hapo Yanga itasafiri na kurejea Jijini Dar es Salaam kwaajili ya mchezo wa kwanza wa Nusu Fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya Marumo Gallants ya Afrika Kusini Jumatano ya Maya 10,2023 kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa.

Baada ya mchezo dhidi ya Singida Yanga itakuwa jmebaki mechi 3 dhidi ya Dodoma Jiji, Mbeya City na Tanzania Prisons na ili kuwa Bingwa wanatakiwa kushinda mechi tatu kati ya nne zilizobaki.

PIA UNAWEZA KUSOMA👇

Nijuze TV ni App ambayo ukiwa nayo utaweza kutazama mechi za Ligi Kuu Tz Bara (NBC PREMIER LEAGUE) EPL, WORLD CUP, EPL, LALIGA, SERIA, LIGUE 1, BUNDESLIGA na Ligi nyingine nyingi.

Download App ya Nijuze Habari Playstore tukutumie Habari zote kwenye Simu yako BILA MALIPO BOFYA HAPA.

Download App ya Nijuze TV Utazame mechi zote kwenye Simu yako BOFYA HAPA

Share This

Tags:

About the Author ()

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *