Nijuze Habari App

SMBA yaachana na Ismael Sawadogo

Filed in Michezo, New, Usajili by on 01/07/2023 0 Comments
Share This

JIUNGE NA GROUP LETU LA WHATSAPP HAPA


JIUNGE NA CHANNEL YETU YA TELEGRAM HAPA


AJIRA MPYA ZA WIKI HII BONYEZA HAPA


AUDIOS MPYA ZA WIKI BONYEZA HAPA


VIDEOS MPYA ZA WIKI HII BONYEZA HAPA

SMBA yaachana na Ismael Sawadogo

SMBA yaachana na Ismael Sawadogo

SMBA yaachana na Ismael Sawadogo

SMBA yaachana na Ismael Sawadogo, Klabu ya Simba imeachana na kiungo wake, wa Burkina Faso, Hamed Ismael Sawadogo baada ya miezi sita tangu asajiliwe Simba kutoka Difaâ El Jadida ya Morocco.

Taarifa iliyotelewa na Simba Kupitia Mitandao ya Kijamii leo Jumamosi July 01,2023 imesema kuwa; Uongozi wa klabu umefikia makubaliano ya pande mbili ya kuachana na kiungo mkabaji Ismael Sawadogo.

SMBA yaachana na Ismael Sawadogo

SMBA yaachana na Ismael Sawadogo

Hamed Ismael Sawadogo anakuwa mchezaji wa tisa kuachwa Simba baada ya Beno Kakolanya, Gardiel Michael, Mohamed Ouattara, Erasto Nyoni, Jonas Mkude, Nelson Okwa, Víctor Akpan na Augustine Okrah.

Simba pia imeachana na makocha wake wawili Kelvin Mandla Ndlomo na Fareed Cassiem, wote raia wa Afrika Kusini na kocha wa makipa, Zakaria Chlouha na kocha wake wa timu yake ya wanawake, Mganda Charles Lukula.

PIA UNAWEZA KUSOMA👇

 

MKWANJA Mrefu Upo Premierbet Leo, kupata odds za Kibabe Tafadhali Bofya HAPA JISAJILI, BASHIRI Utusue.

 
 

Karibu Helabet Upige MKWANJA hadi 300,000, Kujiunga Bofya HAPA, Promo Code ya Bonasi Weka NIJUZE, JISAJILI, Deposit na Utusue.

 

Nijuze TV ni App ambayo ukiwa nayo utaweza kutazama mechi za Ligi Kuu Tz Bara (NBC PREMIER LEAGUE) EPL, WORLD CUP, EPL, LALIGA, SERIA, LIGUE 1, BUNDESLIGA na Ligi nyingine nyingi.

Download App ya Nijuze Habari Playstore tukutumie Habari zote kwenye Simu yako BILA MALIPO BOFYA HAPA.

Share This

Tags:

About the Author ()

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *