LIVE USM ALGER VS YANGA Download HAPA kutazama LIVE kwenye Simu Yako Kesho Saa 4:00 Usiku.

LIVE MAN CITY VS MAN UNITED Download HAPA kutazama LIVE kwenye Simu Yako Kesho Saa 11:00 Jioni.

Tetemeko la Aridhi Singida na Dodoma

Filed in Habari by on 17/02/2023 0 Comments
Share This
NIJUZE HABARI WHATSAPP GROUP

AJIRA MPYA ZA WIKI HII BONYEZA HAPA


AUDIOS MPYA ZA WIKI BONYEZA HAPA


VIDEOS MPYA ZA WIKI HII BONYEZA HAPA

Nijuze TV App, Mpira Kiganjani Mwako

Tetemeko la Aridhi Singida na Dodoma

Tetemeko la Aridhi Singida na Dodoma

Tetemeko la Aridhi Singida na Dodoma

Tetemeko la ardhi lenye ukubwa wa 4.9 na 4.3 katika kipimo cha richter limetokea kwenye Mikoa ya Singida na Dodoma leo February 17, 2023.

Akithibitisha taarifa hizo Mjiolojia Mwandamizi kutoka Taasisi ya Jiolojia na Utafiti wa Madini Tanzania (GST) Gabriel Mbogoni amesema kuanzia jana yametokea matetemeko ya ardhi matatu nchini Tanzania.

Read this: WAFUNGAJI wanaoongoza kwa magoli Ligi Kuu ya Wanawake Tanzania Bara

Mbogoni amesema kuwa moja lilitokea maeneo ya mpaka wa Singida na Dodoma likiwa na ukubwa wa 4.9 katika kipimo cha richter, jingine lilitokea asubuhi ya leo likiwa na ukubwa wa 4.3 likifuatiwa na lenye ukubwa wa 4.9 na haya mawili yametokea katika wilaya ya Manyoni.

Hata hivyo Mbogoni amesema mpaka sasa hakuna taarifa zozote za madhara ambayo yamesababishwa na matetemeko ya ardhi ambayo yametokea jana Alhamisi na leo Ijumaa.

Ikumbukwe kwamba mikoa ya Singida na Dodoma imepitiwa na Ukanda wa Bonde la Ufa la Afrika Mashariki mkondo wa Mashariki.

Maeneo ya ukanda wa Bonde la Ufa kwa kawaida ni maeneo tete ya mabadiliko ya kijiolojia ambayo hukumbwa na matetemeko ya ardhi na milipuko ya Volkano.

Download App ya Nijuze Habari Playstore tukutumie Habari zote kwenye Simu yako BILA MALIPO BOFYA HAPA.

Download App ya Nijuze TV Utazame mechi zote kwenye Simu yako BOFYA HAPA

Share This

Tags:

About the Author ()

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *