TETESI: Nabi anaondoka Yanga
JIUNGE NA GROUP LETU LA WHATSAPP HAPA
JIUNGE NA CHANNEL YETU YA TELEGRAM HAPA
AJIRA MPYA ZA WIKI HII BONYEZA HAPA
AUDIOS MPYA ZA WIKI BONYEZA HAPA
VIDEOS MPYA ZA WIKI HII BONYEZA HAPA
TETESI: Nabi anaondoka Yanga

TETESI: Nabi anaondoka Yanga
TETESI: Nabi anaondoka Yanga, Kocha Mkuu wa klabu ya Yanga, Nasredine Nabi amefikia makubaliano na uongozi wa Yanga kutoendelea kuwa Kocha Mkuu wa Klabu hiyo yenye makazi yake Mtaa wa Jangwani Jijini Dar es salaam.
Aidha taarifa za ndani zinadai kuwa Nabi na bechi lake la ufundi kwa pamoja wanatarajiwa kujiunga na klabu ya Kaizer Chiefs ya Afrika Kusini.
Wakati Kocha huyo anaondoka Yanga, taarifa zinadai kuwa Cedric Kaze yupo mbioni kujiunga na Singida Fountain Gate FC.
Kaizer Chiefs ambayo imeshindwa kutamba katika soka la Afrika Kusini miaka kadhaa imepanga kumuajiri Kocha huyo Mtunisia, huku ikipanga kuachana na Kocha wao wa sasa Arthur Zwane.

TETESI: Nabi anaondoka Yanga
Taarifa zilizoripotiwa kutoka Shirika la Utangazaji la Afrika Kusini SABC zinaeleza kuwa Uongozi wa Klabu hiyo upo katika mazungumzo na wawakilishi wa Nasreddine Nabi mwenye umri wa miaka 57.
Mazungumzo kati ya pande hizo mbili yanayoendelea sasa ni kuhusu makubaliano binafsi ya Kocha huyo, ambaye atakuwa huru kunzia mwezi Julai, baada ya mkataba wake na Young Africans Africans kufikia tamati.
Inaelezwa kuwa Amakhosi wamefanya haraka kujaribu kupata huduma ya Kocha huyo, baada ya kuthibitishwa kuwa alikuwa na nia ya kuondoka Young Africans baada ya kipindi kingine cha mafanikio, ambacho kimehitimishwa kwa mataji matatu mfululizoz huku akiifikisha Young Africans Fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika 2023.
PIA UNAWEZA KUSOMA👇
MKWANJA Mrefu Upo Premierbet Leo, kupata odds za Kibabe Tafadhali Bofya HAPA JISAJILI, BASHIRI Utusue.
Karibu Helabet Upige MKWANJA hadi 300,000, Kujiunga Bofya HAPA, Promo Code ya Bonasi Weka NIJUZE, JISAJILI, Deposit na Utusue.
- Ada/makato ya Lipa kwa M-pesa, Lipa kwa Simu
- ADA za LIPA kwa Airtel Mitandao Yote
- TETESI za Usajili NBC Premier League 2023/2024
- YANGA yashika Nafasi ya 9 Simba ya 10 Afrika 2022/2023
- FAHAMU kuhusu Azam Pesa pamoja na Makato yake
- Ada mpya za M-Pesa 2023/2024 | Makato mapya ya M-Pesa
- Ada zaAirtel Money 2022/2023 | Makato mapya ya Airtel Money
- ADA Mpya za Tigo Pesa (Tigo Pesa Tariffs 2022/2023)
- Ada/Makato ya HaloPesa Tanzania, Halopesa Tariffs 2023
- DOWNLOAD | NYIMBO ZA TENZI ZA ROHONI SWAHILI MIX
- Ada za M-Pesa Songesha 2022/2023
- FAHAMU Jinsi ya Kufungua Akaunti ya M-Koba Vodacom
- Namna ya Kujisajili na Premier Bet Ushinde Mamilioni
- RATIBA kamili NBC Premier League msimu wa 2022/2023
- DOWNLOAD NIDA number | Kitambulisho cha Taifa
- MSIMAMO Ligi Kuu Tanzania Bara 2022/2023
- WAFUNGAJI Wanaoongoza kwa Ufungaji Ligi Kuu
Nijuze TV ni App ambayo ukiwa nayo utaweza kutazama mechi za Ligi Kuu Tz Bara (NBC PREMIER LEAGUE) EPL, WORLD CUP, EPL, LALIGA, SERIA, LIGUE 1, BUNDESLIGA na Ligi nyingine nyingi.

Download App ya Nijuze Habari Playstore tukutumie Habari zote kwenye Simu yako BILA MALIPO BOFYA HAPA.
