TIMU Zitakazoshiriki CAF Super Cup 2023

AJIRA MPYA ZA WIKI HII BONYEZA HAPA
AUDIOS MPYA ZA WIKI BONYEZA HAPA
VIDEOS MPYA ZA WIKI HII BONYEZA HAPA


TIMU Zitakazoshiriki CAF Super Cup 2023

TIMU Zitakazoshiriki CAF Super Cup 2023
KLABU ya Simba inatarajiwa kuwa miongoni mwa Vilabu Vinane katika Ligi Kuu ya Afrika iliyoanzishwa na Shirikisho la Soka Afrika (CAF) inayotarajiwa kuanza mwezi August.
Awali ilipendekezwa kuwa timu 24 zilizopendekezwa kutoka nchi 16, lakini zimepunguzwa hadi kubaki timu nane, huku taarifa zikidai kuwa timu 24 itakuwa msimu wa pili wa 2023/2024.
Katika mchakato huo, klabu hizo nane tayari zmetembelewa kwaajili ya kukaguliwa vifaa vyao, viwanja vilivyochaguliwa kutumika, na kuwasiliana kuhusu taarifa za mwisho za Ushiriki wao.
Klabu ya Raja Athletic, Orlando Pirates na Kaizer Chiefs ni miongoni mwa klabu zenye hadhi ya juu ambazo hazitashiriki Mashindano hayo.
CAF imetaja sababu Kuu ya kuanzisha Mashindano hayo kuwa ni kukuza thamani ya mpira wa Miguu Afrika kupitia uwekezaji, udhamini pamoja na mifuko ya maendeleo.
Timu zitakazo cheza Super Cup,Teams in CAF Super League,CAF Super Cup matches,Super Cup Africa 2023 teams,Vigezo vya kushiriki super cup africa,CAF Super 8.
Listi ya timu 8 zitakazoshiriki Mashindano ya CAF Super League 2023.
POT 1:
1.Al Ahly – Egypt
2.Mamelodi Sundowns – South Africa
3.Wydad Athelic – Morocco
4.Esperance de Tunis – Tunisia
POT 2:
5.Simba SC – Tanzania
6.TP Mazembe – DR Congo
7.Petro Luanda – Angola
8.Horoya Athelic – Guinea
Africa Super League imetajwa kuwa itachezwa kwa kipindi cha miezi 10 kuanzia August hadi May kila mwaka.
Fainali za Mashindano hayo ambayo imepewa jina la SuperFinal itachezwa mwishoni mwa mwezi May katika Uwanja utakaoandaliwa kuwa na mfano wa Fainali za SuperBowl (Marekani).
Kupitia mashindano hayo ya CAF SUPER LEAGUE klabu zitapata fedha nyingi ambapo kwanza kila Klabu itapata dola Milioni 2.5 kwaajili ya kusajili Wachezaji na Gharama za Michuano kama Usafiri na Hotel, pia Bingwa atapata dola Milioni 100.
TIMU Zitakazoshiriki CAF Super Cup 2023, CAF Super Cup teams,Timu zinazoshiriki Super Cup Africa,CAF Super Cup 2023 fixtures,CAF Super Cup 2023 teams,Timu zitakazo shiriki CAF Super League,When is CAF starting 2023,CAF Super Cup 2023/2024 live scores, results, fixtures and table.
PIA UNAWEZA KUSOMA👇
- FAHAMU kuhusu Azam Pesa pamoja na Makato yake
- Ada mpya za M-Pesa 2023/2024 | Makato mapya ya M-Pesa
- DOWNLOAD | NYIMBO ZA TENZI ZA ROHONI SWAHILI MIX
- Ada za M-Pesa Songesha 2022/2023
- FAHAMU Jinsi ya Kufungua Akaunti ya M-Koba Vodacom
- MFUMO wa maombi ya Kitambulisho cha Taifa (NIDA) Online
- JINSI ya kupata mikopo ya vijana na wanawake
- Namna ya Kujisajili na Premier Bet Ushinde Mamilioni
- RATIBA kamili NBC Premier League msimu wa 2022/2023
- DOWNLOAD NIDA number | Kitambulisho cha Taifa
- MSIMAMO Ligi Kuu Tanzania Bara 2022/2023
- WAFUNGAJI Wanaoongoza kwa Ufungaji Ligi Kuu
Nijuze TV ni App ambayo ukiwa nayo utaweza kutazama mechi za Ligi Kuu Tz Bara (NBC PREMIER LEAGUE) EPL, WORLD CUP, EPL, LALIGA, SERIA, LIGUE 1, BUNDESLIGA na Ligi nyingine nyingi.
Download App ya Nijuze Habari Playstore tukutumie Habari zote kwenye Simu yako BILA MALIPO BOFYA HAPA.
Download App ya Nijuze TV Utazame mechi zote kwenye Simu yako BOFYA HAPA
Tags: CAF Super 8., CAF Super Cup 2023 fixtures, CAF Super Cup 2023 teams, CAF Super Cup 2023/2024 live scores, CAF Super Cup matches, CAF Super Cup teams, fixtures and table., Results, Super Cup Africa 2023 teams, Teams in CAF Super League, Timu zinazoshiriki Super Cup Africa, Timu zitakazo cheza Super Cup, Timu zitakazo shiriki CAF Super League, TIMU Zitakazoshiriki CAF Super Cup 2023, Vigezo vya kushiriki super cup africa, When is CAF starting 2023