Tunakwenda kuleta Kombe – Fiston Mayele
JIUNGE NA GROUP LETU LA WHATSAPP HAPA
JIUNGE NA CHANNEL YETU YA TELEGRAM HAPA
AJIRA MPYA ZA WIKI HII BONYEZA HAPA
AUDIOS MPYA ZA WIKI BONYEZA HAPA
VIDEOS MPYA ZA WIKI HII BONYEZA HAPA
Tunakwenda kuleta Kombe – Fiston Mayele

Tunakwenda kuleta Kombe – Fiston Mayele
Mshambuliaji wa Young Africans, ambaye ni Kinara wa Ufungaji katika Kombe la Shirikisho Afrika na Ligi Kuu ya NBC, Fiston Mayele amesema kuwa wanakwenda Algeria wakiwa na dhamira moja tu, kusaka ushindi katika mchezo huo wa mkondo wa Pili wa Fainali ya kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya USM Alger.
- MAJINA ya Walioitwa Kazini/Mafunzo Jeshi la Magereza Leo June 2023
- KIKOSI Cha Yanga kinachoifuata USM Alger June 1 2023
Mayele amesema kuwa watacheza mchezo huo wakiwa hawana presha yoyote akiamini kwamba presha itakuwa kwa wapinzani wao.
“Mechi ya kwanza tulicheza Uwanja wa Benjamin Mkapa tulikuwa na presha kubwa. Mashabiki walikuwa wamejaa na wanataka ushindi. Lakini sasa itakuwa zamu yao USM Alger nao kuwa na presha kucheza mbele na mashabiki wao”
“Sisi hatuna wasiwasi wowote kucheza kwenye uwanja uliojaa ugenini, mimi nimeshiriki mechi nyingi za aina hiyo, tutajitolea kwa nguvu zetu zote ili kuhakikisha tunashinda na kurudi Tanzania na kombe,” alisema Mayele muda mfupi kabla ya kuanza safari ya Algeria.
- TETESI za Usajili NBC Premier League 2023/2024
- MAJINA ya Form Six Waliochaguliwa Kujiunga na JKT 2023
Msafara wa watu takribani 250 umeondoka leo kuelekea Algeria ukijumuisha wachezaji 29, baadhi ya Viongozi wa Yanga, Wizara ya Michezo ikiongozwa na Waziri Pindi Chama, Mashabiki na wadau wa Soka waliopata Nafasi ya kujumuishwa katika safari hiyo.
PIA UNAWEZA KUSOMA👇
- Ada/makato ya Lipa kwa M-pesa, Lipa kwa Simu
- ADA za LIPA kwa Airtel Mitandao Yote
- TETESI za Usajili NBC Premier League 2023/2024
- YANGA yashika Nafasi ya 9 Simba ya 10 Afrika 2022/2023
- FAHAMU kuhusu Azam Pesa pamoja na Makato yake
- Ada mpya za M-Pesa 2023/2024 | Makato mapya ya M-Pesa
- Ada zaAirtel Money 2022/2023 | Makato mapya ya Airtel Money
- ADA Mpya za Tigo Pesa (Tigo Pesa Tariffs 2022/2023)
- Ada/Makato ya HaloPesa Tanzania, Halopesa Tariffs 2023
- DOWNLOAD | NYIMBO ZA TENZI ZA ROHONI SWAHILI MIX
- Ada za M-Pesa Songesha 2022/2023
- FAHAMU Jinsi ya Kufungua Akaunti ya M-Koba Vodacom
- Namna ya Kujisajili na Premier Bet Ushinde Mamilioni
- RATIBA kamili NBC Premier League msimu wa 2022/2023
- DOWNLOAD NIDA number | Kitambulisho cha Taifa
- MSIMAMO Ligi Kuu Tanzania Bara 2022/2023
- WAFUNGAJI Wanaoongoza kwa Ufungaji Ligi Kuu
Nijuze TV ni App ambayo ukiwa nayo utaweza kutazama mechi za Ligi Kuu Tz Bara (NBC PREMIER LEAGUE) EPL, WORLD CUP, EPL, LALIGA, SERIA, LIGUE 1, BUNDESLIGA na Ligi nyingine nyingi.

Download App ya Nijuze Habari Playstore tukutumie Habari zote kwenye Simu yako BILA MALIPO BOFYA HAPA.
