YANGA, GSM zasaini Mkataba mnono wa udhamini
JIUNGE NA GROUP LETU LA WHATSAPP HAPA
JIUNGE NA CHANNEL YETU YA TELEGRAM HAPA
AJIRA MPYA ZA WIKI HII BONYEZA HAPA
AUDIOS MPYA ZA WIKI BONYEZA HAPA
VIDEOS MPYA ZA WIKI HII BONYEZA HAPA
YANGA, GSM zasaini Mkataba mnono wa udhamini

YANGA vs GSM
KLABU ya Yanga na kampuni ya GSM zimesaini Mikataba Minono ya udhamini na Utengenezaji wa Jezi kwa kipindi cha miaka mitano.
Mkataba wa Utengenezaji wa Jezi na Vifaa vya Michezo vyenye Nembo ya Klabu ya Young Africans SC wenye thamani ya Tsh Bilioni 1.5 kwa mwaka, utaingizia Yanga Tsh Bilioni 9.1 katika kipindi chote cha miaka mitano
Mkataba wa udhamini kupitia GSM foam/Max wenye thamani ya Tsh Milioni 300 kwa mwaka utaiingizia Yanga Tsh Bilioni 1.8 katika kipindi chote cha miaka mitano.

YANGA SC V GSM GROUP
Mikataba yote miwili ina thamani ya TSh Bilioni 10.9
Akizungumza katika hafla ya Utiaji saini uliofanyika kwenye Hotel ya Serena mapema leo, Rais wa Yanga Injinia Hersi Said amesema kuwa Mahusiano mazuri kati ya Yanga na GSM yamepelekea kusainiwa kwa mikataba hiyo.

Hersi Said Rais wa Yanga
Akizungumzia makubaliano hayo Rais wa Young Africans SC Eng.Hersi Said amesema “Tunayo furaha kubwa kuingia makubaliano haya mapya na wenzetu wa GSM, moja ya ajenda zangu katika Uongozi wangu ilikuwa ni kuipa Klabu uimara wa kiuchumi ili tuweze kujitegemea na mikataba kama hii inaiongezea Klabu thamani na kuiimarisha kimapato, na kama tujuavyo uendeshaji wa vilabu vyetu kunahitaji uiamara wa kiuchumi”
Hersi amemshukuru Rais wa Makampuni ya GSM Ghalib Said Mohammed kwa kuwa sehemu ya mafanikio ya Yanga tangu tangu nyakati ngumu
MKWANJA Mrefu Upo Premierbet Leo, kupata odds za Kibabe Tafadhali Bofya HAPA JISAJILI, BASHIRI Utusue.
Karibu Helabet Upige MKWANJA hadi 300,000, Kujiunga Bofya HAPA, Promo Code ya Bonasi Weka NIJUZE, JISAJILI, Deposit na Utusue.
Hersi pia amewataka Wanachama na Mashabiki wa Yanga kuiunga mkono GSM kwa kununua bidhaa zao mbalimbali.

Bw. Allan Chonjo Mkurugenzi wa Biashara GSM
Naye Mkurugenzi wa Biashara toka GSM Group Bw. Allan Chonjo amesema. “GSM imeona Matunda makubwa sana baada ya kuingia mkataba na Club Kubwa ya Yanga na hivyo tumevutiwa na kuamua kuendelea kuwekeza kwa kipindi cha miaka 5 kuanzia msimu huu wa 2022/23 mpaka 2026/27 kwenye mikataba yote miwili yenye Jumla ya thamani ya Zaidi Tsh Bilioni 10.9.”
- RATIBA Mechi Za Simba SC NBC Premier League 2022/2023
- KIKOSI Cha Yanga SC msimu wa 2022/2023
- RATIBA Mechi za Yanga SC NBC Premier League 2022/2023
- KIKOSI Cha Simba SC msimu wa 2022/2023
- MSIMAMO NBC Premier League 2022/2023 Table Standings
- WAFUNGAJI Bora Ligi Kuu Tanzania Bara (Top Scorers NBC Premier League 2022/2023)
- MATOKEO raundi ya 3 NBC Premier League 2022/2023
- RATIBA ya Mechi za Yanga mwezi September 2022
- RATIBA ya Mechi za Simba SC mwezi September 2022
- EWURA bei mpya za Mafuta kuanzia September 07 2022
- WACHEZAJI wa Simba waliopitishwa na CAF 2022/2023
- MATOKEO Yanga SC vs Zalan September 10 2022 | CAF Champions League
- MATOKEO Simba SC vs Nyasa Big Bullets September 10 2022 | CAF Champions League

Download App ya Nijuze Habari Playstore tukutumie Habari zote kwenye Simu yako BILA MALIPO BOFYA HAPA.
Tags: GSM Group, GSM Tanzania, YANGA GSM zasaini Mkataba mnono wa udhamini, Yanga SC, Yanga vs GSM Tanzania, Young Africans vs GSM Group