Nijuze Habari App

YANGA yaanza safari ya kurejea Tanzania

Filed in Michezo by on 18/05/2023 0 Comments
Share This

JIUNGE NA GROUP LETU LA WHATSAPP HAPA


JIUNGE NA CHANNEL YETU YA TELEGRAM HAPA


AJIRA MPYA ZA WIKI HII BONYEZA HAPA


AUDIOS MPYA ZA WIKI BONYEZA HAPA


VIDEOS MPYA ZA WIKI HII BONYEZA HAPA

YANGA yaanza safari ya kurejea Tanzania

YANGA yaanza safari ya kurejea Tanzania

YANGA yaanza safari ya kurejea Tanzania

BAADA ya Ushindi wa Mabao 2-1 dhidi ya Marumo Gallants na kufanikiwa Kufuzu hatua ya kombe la Shirikisho Barani Afrika, kikosi cha Yanga kimeondoka Mjini Rustenburg mapema leo kuelekea Johanesburg, Afrika Kusini.

Yanga inaondoka Afrika Kusini leo kurejea nyumbani Tanzania ambako Jumapili hii ya May 21 itakuwa na mchezo wa Nusu Fainali ya Kombe la Shirikisho la Azam (ASFC) dhidi ya Singida Big Stars ambao utapigwa kwenye Uwanja wa Liti mkoani Singida Kuanzia Saa 9:30 Alasiri.

Afisa Habari wa Klabu hiyo, Ali Kamwe amewataka Wanachama na Mashabiki wa timu hiyo kuendelea kuiunga mkono timu yao ili kuhakikisha wanatimiza malengo yao ya Msimu huu.

Kamwe amesema kuwa huu sio wakati wa Shamrashamra, kwani wanahitaji kushinda mchezo dhidi ya Singida BS na kutinga Fainali ya Azam Sports Federation Cup 2023.

“Nawaambia Wanachama na Mashabiki wetu, waendelee kutuunga mkono, muda wa Shamrashamra bado, wasije Uwanja wa ndege kutupokea kwani bado hatujamaliza kazi, tunakabiliwa na mechi mbili muhimu ambazo ni Nusu Fainali ya FA na Fainali ya Shirikisho Afrika,” alisema Kamwe

Yanga baada ya kutinga Fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika itacheza na USM Alger ya Algeria kwenye Fainali ambayo inachezwa nyumbani na Ugenini na mchezo wa Kwanza utapigwa Jijini Dar es salaam May 28, huku mchezo wa Pili ukitarajiwa kupigwa June 3 mwaka huu nchini Algeria.

 

MKWANJA Mrefu Upo Premierbet Leo, kupata odds za Kibabe Tafadhali Bofya HAPA JISAJILI, BASHIRI Utusue.

 
 

Karibu Helabet Upige MKWANJA hadi 300,000, Kujiunga Bofya HAPA, Promo Code ya Bonasi Weka NIJUZE, JISAJILI, Deposit na Utusue.

 

PIA UNAWEZA KUSOMA👇

Nijuze TV ni App ambayo ukiwa nayo utaweza kutazama mechi za Ligi Kuu Tz Bara (NBC PREMIER LEAGUE) EPL, WORLD CUP, EPL, LALIGA, SERIA, LIGUE 1, BUNDESLIGA na Ligi nyingine nyingi.

Download App ya Nijuze Habari Playstore tukutumie Habari zote kwenye Simu yako BILA MALIPO BOFYA HAPA.

Share This

Tags:

About the Author ()

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *