YANGA yaifuata Azam Fainali Azam Sports Federation Cup

AJIRA MPYA ZA WIKI HII BONYEZA HAPA
AUDIOS MPYA ZA WIKI BONYEZA HAPA
VIDEOS MPYA ZA WIKI HII BONYEZA HAPA


YANGA yaifuata Azam Fainali Azam Sports Federation Cup

YANGA yaifuata Azam Fainali Azam Sports Federation Cup
MABINGWA watetezi Ligi Kuu Tanzania Bara, Young Africans wamefanikiwa kutinga hatua ya Fainali ya Kombe la Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), maarufu Azam Sports Federation Cup (ASFC) baada ya ushahidi wa bao 1-0 dhidi ya Singida Big Stars kwenye Uwanja wa LITI mjini Singida.
Bao la hilo la Ushindi limefungwa na Mshambuliaji Fiston Mayele dakika ya 82.

YANGA yaifuata Azam Fainali Azam Sports Federation Cup
Yanga ambao ni Mabingwa wa Ligi Kuu ya NBC kwa msimu wa pili mfululizo, watakutana na Azam FC katika Fainali ya Azam Sports Federation Cup iyakayofanyika kwenye Uwanja wa CCM Mkwakwani Jijini Tanga hapo baadae.
Klabu hiyo sasa inarejea Jijini Dar es Salaam kwaajili ya maandalizi ya mchezo wa Fainali ya kwanza ya Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya USM Alger Jumapili ijayo ya May 28 kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa Jijini Dar es Salaam.
YANGA yaifuata Azam Fainali Azam Sports Federation Cup,Yanga vs Azam FC,Yanga SC vs Azam FC, Young Africans vs Azam FC Fainali ya Azam,Azam FC vs Yanga Fainali ya ASFC,Azam vs Yanga,Azam vs Young Africans Fainali Azam Sports Federation Cup 2023,Azam na Yanga Fainali Azam Sports Federation Cup.
PIA UNAWEZA KUSOMA👇
- Ada/makato ya Lipa kwa M-pesa, Lipa kwa Simu
- ADA za LIPA kwa Airtel Mitandao Yote
- TETESI za Usajili NBC Premier League 2023/2024
- YANGA yashika Nafasi ya 9 Simba ya 10 Afrika 2022/2023
- FAHAMU kuhusu Azam Pesa pamoja na Makato yake
- Ada mpya za M-Pesa 2023/2024 | Makato mapya ya M-Pesa
- Ada zaAirtel Money 2022/2023 | Makato mapya ya Airtel Money
- ADA Mpya za Tigo Pesa (Tigo Pesa Tariffs 2022/2023)
- Ada/Makato ya HaloPesa Tanzania, Halopesa Tariffs 2023
- DOWNLOAD | NYIMBO ZA TENZI ZA ROHONI SWAHILI MIX
- Ada za M-Pesa Songesha 2022/2023
- FAHAMU Jinsi ya Kufungua Akaunti ya M-Koba Vodacom
- Namna ya Kujisajili na Premier Bet Ushinde Mamilioni
- RATIBA kamili NBC Premier League msimu wa 2022/2023
- DOWNLOAD NIDA number | Kitambulisho cha Taifa
- MSIMAMO Ligi Kuu Tanzania Bara 2022/2023
- WAFUNGAJI Wanaoongoza kwa Ufungaji Ligi Kuu
Nijuze TV ni App ambayo ukiwa nayo utaweza kutazama mechi za Ligi Kuu Tz Bara (NBC PREMIER LEAGUE) EPL, WORLD CUP, EPL, LALIGA, SERIA, LIGUE 1, BUNDESLIGA na Ligi nyingine nyingi.
Download App ya Nijuze Habari Playstore tukutumie Habari zote kwenye Simu yako BILA MALIPO BOFYA HAPA.
Download App ya Nijuze TV Utazame mechi zote kwenye Simu yako BOFYA HAPA
Tags: Azam FC vs Yanga Fainali ya ASFC, Azam na Yanga Fainali Azam Sports Federation Cup., Azam vs YANGA, Azam vs Young Africans Fainali Azam Sports Federation Cup 2023, Yanga SC vs Azam FC, Yanga vs Azam FC, YANGA yaifuata Azam Fainali Azam Sports Federation Cup, Young Africans vs Azam FC Fainali ya Azam