Nijuze Habari App

YANGA yaingia 5 Bora Tuzo za CAF 2023

Filed in Michezo by on 17/11/2023 0 Comments
Share This

JIUNGE NA GROUP LETU LA WHATSAPP HAPA


JIUNGE NA CHANNEL YETU YA TELEGRAM HAPA


AJIRA MPYA ZA WIKI HII BONYEZA HAPA


AUDIOS MPYA ZA WIKI BONYEZA HAPA


VIDEOS MPYA ZA WIKI HII BONYEZA HAPA

YANGA yaingia 5 Bora Tuzo za CAF 2023

YANGA yaingia 5 Bora Tuzo za CAF 2023

YANGA yaingia 5 Bora Tuzo za CAF 2023, CAF award 2023, CAF Club award 2023, Tuzo za CAF 2023, Yanga CAF Award 2023.

KLABU ya Yanga imetinga hatua ya tano bora kuwania tuzo ya klabu bora kwa wanaume kutoka CAF mwaka 2023.

Ikumbukwe kwamba Yanga kwenye Kombe la Shirikisho Afrika 2022/2023 waliishia nafasi ya pili na katika Ligi ya ndani walitwaa taji la Ligi Kuu Bara.

Awali zilikuwa zinawania timu 10 ambazo ni Al Ahly ya Misri, Wydad na Raja Casablanca kutoka Morocco, Mamelodi Sundowns na Marumo Gallants kutoka Afrika Kusini, Esperance de Tunisia, USM Alger na CR Belouizdad kutoka Algeria, ASEC Mimosas ya Ivory Coast na Tanzania ikiwakilishwa na Yanga.

 

MKWANJA Mrefu Upo Premierbet Leo, kupata odds za Kibabe Tafadhali Bofya HAPA JISAJILI, BASHIRI Utusue.

 
 

Karibu Helabet Upige MKWANJA hadi 300,000, Kujiunga Bofya HAPA, Promo Code ya Bonasi Weka NIJUZE, JISAJILI, Deposit na Utusue.

 

Tuzo hizo zinatarajiwa kufanyika tarehe 11 December 2023 huko Morocco katika Jiji la Marrakech ambapo timu zilizotinga tano Bora ukianza na Yanga kuna USM Alger, Al Ahly, Waydad na Mamelod.

YANGA yaingia 5 Bora Tuzo za CAF 2023Orodha ya timu hizo 5 zilizovuka mchujo huo ni Young Africans ya Tanzania, USM Alger ya Algeria, Mamelodi Sundowns ya Afrika Kusini, Al Ahly ya Misir na Wydad Athletic Club ya Morocco.

YANGA yaingia 5 Bora Tuzo za CAF 2023

Download App ya Nijuze Habari Playstore tukutumie Habari zote kwenye Simu yako BILA MALIPO BOFYA HAPA.

Share This

Tags: , , , ,

About the Author ()

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *