Yanga yaingiza Bilioni 17 msimu wa 2022/2023
SHINDA 50,000 BURE KILA SIKU BONYEZA HAPA
AJIRA MPYA ZA WIKI HII BONYEZA HAPA
AUDIOS MPYA ZA WIKI BONYEZA HAPA
VIDEOS MPYA ZA WIKI HII BONYEZA HAPA
Yanga yaingiza Bilioni 17 msimu wa 2022/2023
Yanga yaingiza Bilioni 17 msimu wa 2022/2023, KLABU ya Yanga msimu wa 2022-2023 imeingiza jumla ya Sh. Bilioni 17.8 kutokana na mapato mbalimbali, ikiwemo udhamini wao kutoka makampuni ya SportPesa, Azam Media Limited, Haier, GSM Group, Jembe Energy, CRDB Bank, Unicef, Smile na Robbialac.
Hayo yamesemwa na Rais wa Yanga, Mhandishi Hersi Ally Said katika Mkutano Mkuu wa mwaka klabu uliofanyika kwenye ukumbi wa Kimataifa wa Mikutano wa Julius Nyerere (JNICC) Jijini Dar es Salaam.

Makamu wa Rais Young Africans SC Arafat Haji
Hersi amesema kuwa katika fedha hizo, matumzi ya klabu ni Bilioni 17.3, maana yake Faida ambayo wamevuna kutokana na wadhamini ni Sh. Milioni 500.
Aidha, Rais Hersi amesema kuwa msimu wa 2022-2023 klabu hiyo pia imevuna kiasi cha Bilioni 3.5 kutokana na zawadi za ushiriki wao kwenye mashindano mbalimbali na kwamba kwa msimu ujao Bajeti yao ya matumizi itakuwa zaidi ya Sh. Bilioni 20.
Pamoja na kutwaa Ngao ya Jamii, Ubingwa wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara na Kombe la Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), maarufu kama Azam Sports Federation Cup (ASFC), Yanga ilishika nafasi ya pili Kombe la Shirikisho Afrika.

Makombe yote matatu na medali ya Kombe la Shirikisho kwa msimu wa 2022-23 yametambulishwa rasmi kwa Wanachama
Rais Hersi pia amesema kuwa Uongozi wake umedhamiria kujenga Uwanja wa kisasa katika makao Makuu ya klabu, Mtaa wa Jangwani ambao utakuwa na uwezo wa kuingiza watu 15,000 hadi 18,000.

NMB Yanga Stadium
“Katika uongozi wangu, mimi na wenzangu hatutamaliza muda wetu mpaka tumalize ujenzi huu wa Uwanja,” amesema Rais Hersi.
MKWANJA Mrefu Upo Premierbet Leo, kupata odds za Kibabe Tafadhali Bofya HAPA JISAJILI, BASHIRI Utusue.
Karibu Helabet Upige MKWANJA hadi 300,000, Kujiunga Bofya HAPA, Promo Code ya Bonasi Weka NIJUZE, JISAJILI, Deposit na Utusue.
Katika Mkutano huo pia wametambulishwa Wajumbe wapya wa Baraza la Wadhamini wa Yanga wakiongozwa na mjane wa Rais wa kwanza wa Zanzibar na Mwenyekiti wa kwanza wa Bara la Mapinduzi, marehemu Abeid Amaan Karume, Mama Fatma Karume.
Wajumbe wengine ni Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Utumishi wa Umma na Utawala Bora na Mbunge wa Newala, Kapteni Mstaafu George Mkuchika, Waziri wa Fedha na Mipango na Mbunge wa Iramba Magharibi, Dk Mwigulu Nchemba, Mbunge wa Kinondoni, Tarimba Abbas na Naibu Waziri wa Kilimo na Mbunge wa Dodoma Mjini, Anthony Mavunde.

Wajumbe wa Kamati ya Utendaji Young Africans SC
PIA UNAWEZA KUSOMA👇
- Ada/makato ya Lipa kwa M-pesa, Lipa kwa Simu
- ADA za LIPA kwa Airtel Mitandao Yote
- TETESI za Usajili NBC Premier League 2023/2024
- YANGA yashika Nafasi ya 9 Simba ya 10 Afrika 2022/2023
- FAHAMU kuhusu Azam Pesa pamoja na Makato yake
- Ada mpya za M-Pesa 2023/2024 | Makato mapya ya M-Pesa
- Ada zaAirtel Money 2022/2023 | Makato mapya ya Airtel Money
- ADA Mpya za Tigo Pesa (Tigo Pesa Tariffs 2022/2023)
- Ada/Makato ya HaloPesa Tanzania, Halopesa Tariffs 2023
- DOWNLOAD | NYIMBO ZA TENZI ZA ROHONI SWAHILI MIX
- Ada za M-Pesa Songesha 2022/2023
- FAHAMU Jinsi ya Kufungua Akaunti ya M-Koba Vodacom
- Namna ya Kujisajili na Premier Bet Ushinde Mamilioni
- RATIBA kamili NBC Premier League msimu wa 2022/2023
- DOWNLOAD NIDA number | Kitambulisho cha Taifa
- MSIMAMO Ligi Kuu Tanzania Bara 2022/2023
- WAFUNGAJI Wanaoongoza kwa Ufungaji Ligi Kuu
Nijuze TV ni App ambayo ukiwa nayo utaweza kutazama mechi za Ligi Kuu Tz Bara (NBC PREMIER LEAGUE) EPL, WORLD CUP, EPL, LALIGA, SERIA, LIGUE 1, BUNDESLIGA na Ligi nyingine nyingi.
