YANGA yatinga Nusu Fainali CAF Confederation Cup 2022/2023

AJIRA MPYA ZA WIKI HII BONYEZA HAPA
AUDIOS MPYA ZA WIKI BONYEZA HAPA
VIDEOS MPYA ZA WIKI HII BONYEZA HAPA


YANGA yatinga Nusu Fainali CAF Confederation Cup 2022/2023

YANGA yatinga Nusu Fainali CAF Confederation Cup 2022/2023
KLABU ya Young Africans imefanikiwa Kufuzu hatua ya Nusu Fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika (CAF Confederation Cup 2022/2023), baada ya kuiondosha Rivers United ya Nigeria kwa jumla kwa mabao 2-0.
Hiyo ni baada ya mchezo sare ya bila kufungana na Rivers United katika mchezo wa marudiano wa Robo Fainali uliofanyika kwenye Uwanja wa Benjamín Mkapa Jijini Dar es Salaam leo.
Young Africans inafuzu hatua hiyo ya Nusu Fainali kwa faida ya mabao 2-0, iliyoyapata kwenye mchezo wa kwanza uliofanyika nchini Nigeria kwenye kwenye Uwanja wa Godswill Akpabio Mjini Uyo, mabao ya Fiston Mayele.
Yanga sasa itakutana na Marumo Gallants ya Afrika Kusini ambayo imefuzu hatua hiyo kwa kuiondosha Pyramids ya Misri kwa jumla ya mabao 2-1, ikitoa sare ya bao 1-1 Mjini Cairo kwenye mchezo wa mkondo wa kwanza kushinda bao 1-0 leo.
Yanga itaanzia nyumbani kwa kuikaribisha Marumo Gallants May 10 kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa Jijini Dar es na mchezo wa marudiano utafnyika Afrika Kusini May 17, 2023.
Baada ya Yanga kufuzu hatua hiyo ya Nusu Fainali ya CAF Confederation Cup 2022/2023, Tanzania imeongeza pointi 5 na kufikisha pointi 51.5 ikibaki nafasi ya 7 kwenye Association Ranking 2023.
Yanga wao pia wameongeza pointi 5 na kufikisha jumla ya pointi 15 wakishika nafasi ya 22 kwenye Club Ranking Barani Afrika.
PIA UNAWEZA KUSOMA👇
- FAHAMU kuhusu Azam Pesa pamoja na Makato yake
- Ada mpya za M-Pesa 2023/2024 | Makato mapya ya M-Pesa
- DOWNLOAD | NYIMBO ZA TENZI ZA ROHONI SWAHILI MIX
- Ada za M-Pesa Songesha 2022/2023
- FAHAMU Jinsi ya Kufungua Akaunti ya M-Koba Vodacom
- MFUMO wa maombi ya Kitambulisho cha Taifa (NIDA) Online
- JINSI ya kupata mikopo ya vijana na wanawake
- Namna ya Kujisajili na Premier Bet Ushinde Mamilioni
- RATIBA kamili NBC Premier League msimu wa 2022/2023
- DOWNLOAD NIDA number | Kitambulisho cha Taifa
- MSIMAMO Ligi Kuu Tanzania Bara 2022/2023
- WAFUNGAJI Wanaoongoza kwa Ufungaji Ligi Kuu
Nijuze TV ni App ambayo ukiwa nayo utaweza kutazama mechi za Ligi Kuu Tz Bara (NBC PREMIER LEAGUE) EPL, WORLD CUP, EPL, LALIGA, SERIA, LIGUE 1, BUNDESLIGA na Ligi nyingine nyingi.
Download App ya Nijuze Habari Playstore tukutumie Habari zote kwenye Simu yako BILA MALIPO BOFYA HAPA.
Download App ya Nijuze TV Utazame mechi zote kwenye Simu yako BOFYA HAPA
Tags: YANGA yatinga Nusu Fainali CAF Confederation Cup 2022/2023